WIZARA YA AFYA KUSHIKIRIANA NA ‘MAMA ONGEA NA MWANAO’ KUBORESHA KUBORESHA AFYA YA MAMA NA MTOTO
Na Mwandishi WETU Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin MollelĀ amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao akiwemo Steven Nyerere pamoja na Vyonne Cherrie (Monalisa) katika ofisi za Wizara jijini Dodoma. Pamoja na mambo mengine walijadiliana kuhusu malengo ya taasisi hiyo kuhakikisha kwamba afya ya mama na mtoto
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed